Sunday, March 8, 2015

HATIMAYE MOTO UMEZIMWA JIJINI CAPE TOWN


Moto mkubwa ambao uliwaka usiku wa kuamkia jumatatu umezimwa.. moto huo ambao uliwaka kwa muda wa siku6 mfululizo umeteketeza eneo kubwa la msitu uliopo katika milima ya muizinberg na southern peninsula.. eneo hilo la milima lina aina mbali mbali ya viumbe kama vile sokwe,mbwa mwitu,myani na kobe.. mpaka sasa bado halmashauri y jiji la cape town halijasema ni hasara ya kiasi gani imeopatikana kutokana na moto huo.

No comments:

Post a Comment