Monday, March 2, 2015

MOTO MKUBWA CAPE TOWN

Moto mkubwa ulioanza usiku wa kuamkia jumatatu umeenselea kuteketeza sehemu kubwa ya milima ya muizinberg mjini cape tow.. kwa mujibu wa mashuhuda wamedai kuwa imekuwa vigumu kuuzima moto huo kutokana na upepo mkali unaovuma eneo hilo.. mpaka majira ya sa8 mchana zaidi ya askari wa zimamoto 350 ,magari 60 na helikopta 6 zilikuwa katika shughuli nzito ya kuzima moto huo.. taarifa zinasema moto huo hautazimika kiurahisi kutokana na hali ya hewa na unaweza kuchukua siku 7 kuuzima moto huo..

No comments:

Post a Comment